LE CANZONI
I testidelle canzoni sono tratti dal sito http://www.yale.edu/swahili/
Malaika.
Malaika, nakupenda Malaika. Angelo, ti amo angelo
Malaika,
nakupenda Malaika.
Nami
nifanyeje, kijana mwenzio, che cosa dovrei fare, il giovane
amante?
Nashindwa
na mali sina, we, non ho soldi
(LETTERALMENTE: Sono sconfitto da
ricchezza, io
non c'è ne ho.)
Ningekuoa
Malaika. Ti sposerei, angelo.
Nashindwa
na mali sina, we,
Ningekuoa
Malaika.
Pesa
zasumbua roho yangu (I soldi sono problemi
economici della mia anima)
Pesa
zasumbua roho yangu
Nami
nifanyeje, kijana mwenzio,
Ningekuoa
Malaika.
Nashindwa
na mali sina, we,
Ningekuoa
Malaika.
Kidege,
hukuwaza kidege. uccellino,ti sogno sempre uccellino
Kidege,
hukuwaza kidege.
Nami
nifanyeje, kijana mwenzio,
Nashindwa
na mali sina, we,
Ningekuoa kidege.
Nashindwa na mali sina, we,
Ningekuoa kidege.
Majengo
siendi tena (ripetere)
Majengo
siendi tena kuona ndege za mitambo
Majengo
siendi tena (ripetere)
Majengo
siendi tena kuona ndege za mitambo
Moyo
wangu wanituma mwema
Niwe
mwanachama wa daima
Sitaweza
kuliacha Rumba
Pale
moyo kunituma
Moyo
wangu wanituma mwema
Niwe
mwanachama wa daima
Sitaweza
kuliacha Rumba
Pale
moyo kunituma
Harambee
Harambee tumshinde 'jabari.
Harambee
Haramee, harmbee
tuimbe pamoja
(ripetere 2 volte)
Tujenge
serikali
Wali
wasema
Kenya
'tapata matata
(ripetere 2 volte)
watu
wote wastarabu
Watu wa Kenya hatuna ubaguzi
(ripetere 2 volte)
Kila
rangi tunaipenda
Jambo, Jambo bwana,
Habari
gani,
Mzuri
sana.
Wageni,
Wakaribishwa,
Kenya
yetu Hakuna Matata.
Kenya
nchi nzuri,
Hakuna
Matata.
Nchi
ya maajabu
Hakuna
Matata.
Nchi
yenye amani,
Hakuna
Matata.
Hakuna
Matata,
Hakuna
Matata.
Watu
wote,
Hakuna
Matata,
Wakaribishwa,
Hakuna
Matata.
Hakuna
Matata,
Hakuna
Matata.